X

Vous n'êtes pas connecté

Rubriques :

  - MSUMBANEWS.CO.TZ - A La Une - 06/Jul 03:58

MWENGE WAZINDUA BWENI LA MILIONI 168 MALULA SEKONDARI

Mwenge wa UhuruWanafunzi wa zaidi 80  wanaosoma shule ya sekondari Malula kata ya Malula Wilayani Arumeru wameondokana na adha  ya mabweni baada ya Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF)kujenga bweni lenye thamani ya milioni 168.4Uzunduzi wa bweni hilo ulifanywa na  Kiongozi wa  mbio za mwenge Kitaifa, Ismail AliUssi mara baada ya kukagua bweni hilo lenye vyumba 20 vitanda 40 na kupongeza juhudi za serikali katika kuinua sekta ya elimuAlisema mradi huo ni wa kimkakati unaopelekea wanafunzi kupata elimu bora , ndio maana serikali imeboresha sekta ya miundombinu ya elimu ili kuhakikisha ufaulu wa wanafunzi unaongezeka zaidi. "Mradi huu umetekelezwa kwa ufasaha chini ya Uongozi wa Rais Samia Hassan Suluhu hivyo alimpongeza Mkuu wa Wilaya ya Arumeru, Mwinyi Ahmed Mwinyi na viongozi wengine kwa ujenzi wa shule hiyo katika kuhakikisha kiwango cha elimu kinaongezeka"Alisisitiza wananchi kujitokeza kushiriki uchaguzi mkuu kwa amani na utulivu hivyo na kuwapongeza wanafunzi kupitia klabu ya Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa(Takukuru) kuhakikisha wanatekeleza uadilifu na kushika yale yote wanayoelekezwa ili kupinga rushwa ikiwemo walimu kusimamia wanafunzi hao kupata elimu na kuendelea na mapambano dhidi ya rushwa Akisoma taarifa ya mradi huo Mwenyekiti wa Kamati inayosimamia miradi ya Tasaf, Onesmo Nanyaro alisema mradi huo utasaidia wanafunzi kusoma kwa bidii ikiwemo kuondokana na adha ya ukosefu wa malazi Awali akipokea mwenge wa uhuru kutoka Mkoani Kilimanjaro , Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Kenan Kihongosi alisema mwenge huo utazindua miradi 54 yenye thamani ya sh, bilioni 30.3 katika halmashauri saba Mwenge huo uliwasili jana mkoani Arusha na kukabithiwa eneo la King'ori Kibaoni  Wilayani Arumeru ukitokea Mkoani Kilimanjaro ambapo utapitia  miradi 54 kisekta yenye thamani ya sh, bilioni 30.3 mkoani hapa.

Articles similaires

KIONGOZI WA MWENGE AWATAKA WANAFUNZI KUTUNZA MIUNDOMBINU SHULE GANAKO

msumbanews.co.tz - 10/Jul 04:04

Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru 2025 Ndugu Ismail Ali Ussi amewataka walimu na wanafunzi wa shule ya msingi Ganako Wilayani Karatu kutunza...

KIONGOZI WA MWENGE AWATAKA WANAFUNZI KUTUNZA MIUNDOMBINU SHULE GANAKO

msumbanews.co.tz - 10/Jul 04:04

Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru 2025 Ndugu Ismail Ali Ussi amewataka walimu na wanafunzi wa shule ya msingi Ganako Wilayani Karatu kutunza...

WAZIRI MAVUNDE AKAGUA UJENZI WA JENGO LA GHOROFA NANE LA MAFUNZO YA UONGEZAJI THAMANI MADINI VITO

msumbanews.co.tz - 22/Jul 15:26

  ▪️Bilioni 33 kukutumika kukamilisha Jengo la ghorofa pacha-TGC Arusha▪️Biashara ya madini kufanyika kwenye Jengo▪️Ni mkakati wa...

RAIS SAMIA ATOA BIL 19.6 UJENZI WA MIRADI YA ELIMU (SEQUIP) MKOANI NJOMBE

msumbanews.co.tz - 18/Jul 05:11

 Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan imetoa shilingi Bilioni 19.6 kwa ajili ya Mradi wa Kuboresha Ubora wa...

NM-AIST YAZINDUA JEZI RASMI ZA MBIO ZA NELSON MANDELA MSIMU WA PILI

msumbanews.co.tz - 16/Jul 08:28

 Makamu Mkuu wa Taasisi Prof Maulilio Kipanyula (katikati) pamoja na Naibu Makamu Mkuu wa Taasisi Taaluma, Utafiti na Ubunifu Prof Anthony Mshandete...

MRADI WA UJENZI WA BOMBA LA MAFUTA (EACOP) UMELETA MAPINDUZI YA KIUCHUMI KWA WANANCHI WA TANGA

msumbanews.co.tz - 16/Jul 17:03

 📌Wananchi wampongeza Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa mafanikio ya ujenzi wa Mradi, wafikia...

MRADI WA UJENZI WA BOMBA LA MAFUTA (EACOP) UMELETA MAPINDUZI YA KIUCHUMI KWA WANANCHI WA TANGA

msumbanews.co.tz - 16/Jul 17:03

 📌Wananchi wampongeza Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa mafanikio ya ujenzi wa Mradi, wafikia...

WAZIRI AWESO AHIMIZA KASI NA UBORA KATIKA MIRADI YA MAJI NJOMBE

msumbanews.co.tz - 18:10

 Waziri wa Maji, Mhe. Juma Aweso (Mb), amehitimisha ziara yake ya kikazi mkoani Njombe kwa kukagua utekelezaji wa miradi mikubwa ya kimkakati ya maji...

WAZIRI AWESO AHIMIZA KASI NA UBORA KATIKA MIRADI YA MAJI NJOMBE

msumbanews.co.tz - 18:10

 Waziri wa Maji, Mhe. Juma Aweso (Mb), amehitimisha ziara yake ya kikazi mkoani Njombe kwa kukagua utekelezaji wa miradi mikubwa ya kimkakati ya maji...

BILIONI MBILI KUKAMILISHA UJENZI WA BARABARA ZA TARURA JIJI LA ARUSHA

msumbanews.co.tz - 12/Jul 06:10

Wakala wa Barabra za mijini na Vijini TARURA  wanatarijia zaidi ya bilioni mbili kukamilisha Ujenzi wa Barabara ya TCA Levolisi,CCM,...

Les derniers communiqués

  • Aucun élément