X

Vous n'êtes pas connecté

Rubriques :

  - MSUMBANEWS.CO.TZ - A La Une - 10/Jul 04:04

KIONGOZI WA MWENGE AWATAKA WANAFUNZI KUTUNZA MIUNDOMBINU SHULE GANAKO

Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru 2025 Ndugu Ismail Ali Ussi amewataka walimu na wanafunzi wa shule ya msingi Ganako Wilayani Karatu kutunza miundombinu ya shule ili kuhakikisha wanafunzi wanasoma kwa utulivu sanjari na kuhamasisha klabu za kupinga rushwa zinaendelezwa zaidiAlisema endapo miundombinu ya shule ikitunzwa vema itawezesha wanafunzi kufaulu kutokana na uhalisia wa utulivu uliopo na kusisitiza walimu kusimamia maadili sanjari na kuhamasisha klabu za wapinga rushwa zinaendelezwa ili wanafunzi wajue mbinu mbalimbali za kupambana na rushwa wakiwa mitaani na maeneo mengine. "Endeleeni kulinda miundombinu ya elimu sanjari na kupinga rushwa kwa wanafunzi lakini naipongeza halmashauri ya wilaya hii kwa kutenga fedha sh, milioni 30 kama mapato ya ndano kwaaajili ya ujenzi wa darasa shule ya msingi Ganako pia endeleeni kujenga na kukarabati madarasa mengine zaidi"Kwa upande wake Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi Ganako, Lucy Yamay aliishukuru halmashauri ya wilaya hiyo kutoa sh, milioni 30 kwaaajili ya ujenzi wa chumba kimoja cha darasa kwani mradi huo utawezesha wanafunzi kusoma kwenye mazingira rafiki ikiwemo kupunguza msongamano wa wanafunzi darasa niSambamba na hilo pia alimshukuru Rais Samia Hassan Suluhu kwakuendelea kuboresha miundombinu ya elimu ikiwemo utatuzi wa changamoto mbalimbali katika sekta ya elimu , awali Mkuu wa Wilaya hiyo, Dk, Lameck Ng'ang'a akipokea mwenge huo kutokea wilayani Ngorongoro alisema jumla ya miradi nane ya Bil. 4.6 itazinduliwa, kuwekwa mawe ya msingi sambamba na miradi mingine kutembelewa ikiwemo lishe na matumizi ya nishati safi ya kupikia.

Articles similaires

RAIS SAMIA ATOA BIL 19.6 UJENZI WA MIRADI YA ELIMU (SEQUIP) MKOANI NJOMBE

msumbanews.co.tz - 18/Jul 05:11

 Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan imetoa shilingi Bilioni 19.6 kwa ajili ya Mradi wa Kuboresha Ubora wa...

MFUMO WA UFUNDISHAJI MUBASHARA MBIONI KUTUMIKA NCHI NZIMA

msumbanews.co.tz - 25/Jul 08:49

 Na. James K. Mwanamyoto OR-TAMISEMIWaziri Mchengerwa ameeleza azma ya Serikari ya Awamu ya Sita ya kuhakikisha Mfumo wa Ufundishaji Mubashara (live...

MFUMO WA UFUNDISHAJI MUBASHARA MBIONI KUTUMIKA NCHI NZIMA

msumbanews.co.tz - 25/Jul 08:49

 Na. James K. Mwanamyoto OR-TAMISEMIWaziri Mchengerwa ameeleza azma ya Serikari ya Awamu ya Sita ya kuhakikisha Mfumo wa Ufundishaji Mubashara (live...

JIKO LA UMEME LATULIZA NDOA KIJIJI CHA MAENDELEO MOSHI

msumbanews.co.tz - 24/Jul 05:34

Afisa Uhusiano ,Huduma kwa Wateja wa Shirika la Umeme (TANESCO) mkoa wa Kilimanjaro Bi Mwanaisha Mbita akikabidhji jiko la umeme kwa familia ya...

JIKO LA UMEME LATULIZA NDOA KIJIJI CHA MAENDELEO MOSHI

msumbanews.co.tz - 24/Jul 05:34

Afisa Uhusiano ,Huduma kwa Wateja wa Shirika la Umeme (TANESCO) mkoa wa Kilimanjaro Bi Mwanaisha Mbita akikabidhji jiko la umeme kwa familia ya...

UJUMBE WA BENKI YA DUNIA WATEMBELEA ADEM BAGAMOYO KUFUATILIA MAFUNZO YA UTAWALA BORA WA ELIMU

msumbanews.co.tz - 16/Jul 17:45

Ujumbe kutoka Benki ya Dunia wakiongozwa na Bi. Gemma Todd wamefika ADEM Bagamoyo kufanya ufuatiliaji wa namna mafunzo ya Utawala Bora wa Elimu kwenye...

UJUMBE WA BENKI YA DUNIA WATEMBELEA ADEM BAGAMOYO KUFUATILIA MAFUNZO YA UTAWALA BORA WA ELIMU

msumbanews.co.tz - 16/Jul 17:45

Ujumbe kutoka Benki ya Dunia wakiongozwa na Bi. Gemma Todd wamefika ADEM Bagamoyo kufanya ufuatiliaji wa namna mafunzo ya Utawala Bora wa Elimu kwenye...

KAMPENI YA "TUWAAMBIE KABLA HAWAJAHARIBIWA" YAENDELEA SEKONDARI ROBANDA,SERENGETI

msumbanews.co.tz - 16/Jul 09:53

Katika mwendelezo wa kampeni ya kitaifa ya TUWAAMBIE KABLA HAWAJAHARIBIWA, Sajenti Emmanuel kutoka Jeshi la Polisi, kitengo cha Dawati la Jinsia na...

KAMPENI YA "TUWAAMBIE KABLA HAWAJAHARIBIWA" YAENDELEA SEKONDARI ROBANDA,SERENGETI

msumbanews.co.tz - 16/Jul 09:53

Katika mwendelezo wa kampeni ya kitaifa ya TUWAAMBIE KABLA HAWAJAHARIBIWA, Sajenti Emmanuel kutoka Jeshi la Polisi, kitengo cha Dawati la Jinsia na...

NAIBU KATIBU MKUU DKT. HUSSEIN OMAR ATOA WITO KWA TSLB KUIMARISHA HUDUMA ZA MAKTABA KWA NJIA ZA KIDIJITALI

msumbanews.co.tz - 23/Jul 05:59

 Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Dkt. Hussein Mohamed Omar, ametoa wito kwa Bodi ya Huduma za Maktaba Tanzania (TSLB)...

Les derniers communiqués

  • Aucun élément