X

Vous n'êtes pas connecté

Rubriques :

  - MSUMBANEWS.CO.TZ - A La Une - 07/Jul 16:44

USSI AZITAKA TAASISI ZA ELIMU NCHINI KUTUNZA MAZINGIRA

Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa Ismail Ali Ussi amezitaka Taasisi za elimu nchini wakiwemo VETA kuhakikisha wanatunza mazingira sambamba na uoteshaji miti katika maeneo yao hayo yamejiri wakati wa ukaguzi wa mradi wa kuhifadhi mazingira na upandaji wa miti katika Chuo cha VETA Longido. Ussi alisisitiza taasisi  za elimu ikiwemo shule za msingi na sekondari kutunza mazingira ikiwemo upandaji wa vitalu vya miche ya aina mbalimbali ili kuhakikisha maeneo yaliyopo yanakuwa na uoto wa asili ikiwa ni kampeni ya Rais Samia Hassan Suluhu ya kuhakikisha Tanzania inakuwa ya kijani"Endeleeni kupanda miti ili kuhakikisha Tanzania inakua ya kijani ikiwemo kuhakikisha vitalu vua miti ya aina mbalimbali lakini napongeza VETA kwa kuanzisha mradi huu unaowapa fursa za ajira vijana"Awali akisoma taarifa ya mradi huo,Ofisa Ufugaji Nyuki halmashauri ya Longido,Remna Rombola alisema jumla ya miti 1000 imepandwa ikiwemo miche ya vitalu 8,000 ambayo imepandwa kwa gharama ya sh, milioni 4.3 ambapo halmashauri ya Longido imetoa sh, milioni 1.5 huku miti 1000 ikitolewa na  Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) "Mradi huu utasaidia unoreshaji wa mazingira kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi ikiwemo upunguzaji wa hewa ukaa"Awali Mkuu wa Wilaya ya Longido Salum KalLi amesema mwenge wa Uhuru ukiwa wilayani hapo utakimbizwa kilomita 222.4 na kupitia jumla ya miradi saba ya bilioni 2.2

Articles similaires

KIONGOZI WA MWENGE AWATAKA WANAFUNZI KUTUNZA MIUNDOMBINU SHULE GANAKO

msumbanews.co.tz - 10/Jul 04:04

Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru 2025 Ndugu Ismail Ali Ussi amewataka walimu na wanafunzi wa shule ya msingi Ganako Wilayani Karatu kutunza...

KIONGOZI WA MWENGE AWATAKA WANAFUNZI KUTUNZA MIUNDOMBINU SHULE GANAKO

msumbanews.co.tz - 10/Jul 04:04

Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru 2025 Ndugu Ismail Ali Ussi amewataka walimu na wanafunzi wa shule ya msingi Ganako Wilayani Karatu kutunza...

MRADI WA UJENZI WA BOMBA LA MAFUTA (EACOP) UMELETA MAPINDUZI YA KIUCHUMI KWA WANANCHI WA TANGA

msumbanews.co.tz - 16/Jul 17:03

 📌Wananchi wampongeza Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa mafanikio ya ujenzi wa Mradi, wafikia...

MRADI WA UJENZI WA BOMBA LA MAFUTA (EACOP) UMELETA MAPINDUZI YA KIUCHUMI KWA WANANCHI WA TANGA

msumbanews.co.tz - 16/Jul 17:03

 📌Wananchi wampongeza Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa mafanikio ya ujenzi wa Mradi, wafikia...

Mradi wa BOOST Kuwezesha Utawala Bora Katika Sekta ya Elimu

msumbanews.co.tz - 09/Jul 20:20

NA EMMANUEL MBATILO, BAGAMOYOSERIKALI kupitia Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia imeendelea kuimarisha uongozi na usimamizi wa elimu nchini kwa...

Mradi wa BOOST Kuwezesha Utawala Bora Katika Sekta ya Elimu

msumbanews.co.tz - 09/Jul 20:20

NA EMMANUEL MBATILO, BAGAMOYOSERIKALI kupitia Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia imeendelea kuimarisha uongozi na usimamizi wa elimu nchini kwa...

BILIONI MBILI KUKAMILISHA UJENZI WA BARABARA ZA TARURA JIJI LA ARUSHA

msumbanews.co.tz - 12/Jul 06:10

Wakala wa Barabra za mijini na Vijini TARURA  wanatarijia zaidi ya bilioni mbili kukamilisha Ujenzi wa Barabara ya TCA Levolisi,CCM,...

RC DKT BATILDA BURIAN APOKEA VIFAA VITAKAVYOTUMIKA KWENYE MRADI WA KUBORESHA HUDUMA YA MAJI WA HATIFUNGAJI TANGA

msumbanews.co.tz - 11:41

 Na Oscar Assenga,TANGAMKUU wa Mkoa wa Tanga Balozi,Dkt Batilda Burian amewataka wakandarasi watakaohusika katika utekelezaji wa mradi wa hatifungani...

RC DKT BATILDA BURIAN APOKEA VIFAA VITAKAVYOTUMIKA KWENYE MRADI WA KUBORESHA HUDUMA YA MAJI WA HATIFUNGAJI TANGA

msumbanews.co.tz - 11:41

 Na Oscar Assenga,TANGAMKUU wa Mkoa wa Tanga Balozi,Dkt Batilda Burian amewataka wakandarasi watakaohusika katika utekelezaji wa mradi wa hatifungani...

RAIS SAMIA ATOA BIL 19.6 UJENZI WA MIRADI YA ELIMU (SEQUIP) MKOANI NJOMBE

msumbanews.co.tz - 18/Jul 05:11

 Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan imetoa shilingi Bilioni 19.6 kwa ajili ya Mradi wa Kuboresha Ubora wa...

Les derniers communiqués

  • Aucun élément