X

Vous n'êtes pas connecté

Rubriques :

Maroc Maroc - MSUMBANEWS.CO.TZ - A La Une - 24/Feb 05:10

WAZIRI KIKWETE KUFANYA ZIARA YA SIKU TATU MKOANI SONGWE

 Atakagua na Kuzindua Miradi ya MaendeleoWaziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu - Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu -Mhe. Ridhiwani Kikwete leo Februari 23, 2025 amewasili mkoani Songwe kwa lengo la ziara ya kukagua miradi ya Maendeleo ikiwemo ya sekta ya Elimu, Afya na Miundombinu kwa ajili ya ustawi wa maendeleo ya wananchi .Mhe. Waziri Kikwete anatarajiwa kukagua na kuweka Mawe ya msingi katika miradi hiyo ambayo inakadiriwa kugharimu zaidi ya shilingi Bilioni 700 katika Halmashauri zote za mkoa huo.Mara baada ya kuwasili katika mkoa huo, Waziri Kikwete alipokelewa na Mkuu wa Mkoa huo Mhe. Daniel Chongolo ambaye alimpa hali ya maendeleo ya Mkoa huo na maandalizi ambayo yameshafikiwa kwa ajili ya ziara hiyo.Katika ziara hiyo, Mhe. Waziri Kikwete ameambatana na watendaji mbalimbali ambapo amemhakikishia Mkuu wa mkoa huo kuwa timu yake iko tayari kwa ajili ya kazi iliyowaleta.Vile vile, Mhe. Kikwete anatarajiwa pia kukagua Maendeleo ya Kituo cha Vijana cha Sasanda kilichopo wilayani Songwe ambapo atakagua mradi wa Shamba la vijana lililopo katika kituo hicho.

Articles similaires

TUNDUMA WAMETEKELEZA MAAGIZO YA RAIS SAMIA KWA KUTOA BIL 4.6 MIKOPO YA 10%" - WAZIRI KIKWETE

msumbanews.co.tz - 03:41

 Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu-Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Mhe. Ridhiwani Kikwete amesema hatua ya Halmashauri ya Tunduma kutoa...

KAMATI YA BUNGE YAMPONGEZA WAZIRI RIDHIWANI KIKWETE KWA USIMAMIZI WA MIRADI YA NSSF ARUSHA

msumbanews.co.tz - 18/Feb 06:56

 Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ustawi na Maendeleo ya Jamii imempongeza Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe....

WAZIRI KIKWETE AZINDUA MIRADI YENYE THAMANI YA SHILINGI BIL.1.6 WILAYANI SONGWE

msumbanews.co.tz - 04:56

 Wananchi wamshukuru Rais Samia kwa kutenga fedha za miradiWaziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu-Kazi , Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Mhe. Ridhiwani...

RIDHIWANI KIKWETE ASIFU UCHAPAKAZI WA RC MAKONDA, MAANDALIZI SIKU YA WANAWAKE YAKIENDELEA.

msumbanews.co.tz - 17/Feb 09:11

 Waziri wa nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na watu wenye Ulemavu Mhe. Ridhiwan Kikwete, Mapema leo Jumatatu Februari 17, 2025 Jijini...

SERIKALI KUSHIRIKIANA NA WANANCHI KUTEKELEZA MRADI WA MAKAA YA MAWE MCHUCHUMA NA KATEWAKA

msumbanews.co.tz - 18/Feb 07:46

  ...... Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe Dkt. Selemani Jafo (Mb.) ameliagiza Shirika la Taifa la Maendeleo (NDC) kukamilisha majadiliano na...

KOROGWE WAIPONGEZA SERIKALI UTEKELEZAJI MIRADI YA UMEME

msumbanews.co.tz - 24/Feb 19:05

 📌 Ni katika ziara ya Rais, Dkt. Samia Suluhu Hassan mkoani Tanga📌Vijiji vyote 118 vyafikishiwa umemeWananchi wa Wilaya ya Korogwe wameipongeza...

WAZIRI KIKWETE: NI FURAHA YA KILA MZAZI KUONA MWANAE ANASOMA NA KUFANIKIWA, AZINDUA SHULE YA GHOROFA TUNDUMA.

msumbanews.co.tz - 05:28

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu,Mhe. Ridhiwani Kikwete, amewataka wanafunzi  kusoma kwa bidii ili...

KAMATI YA PIC YAONA TIJA UWEKEZAJI KIWANDA CHA UZALISHAJI BIDHAA ZA NGOZI

msumbanews.co.tz - 19/Feb 07:06

 🎈🎈Waziri Ridhiwani Kikwete aihakikishia uwekezaji endelevuKamati ya Bunge ya Uwekezaji na mitaji ya Umma (PIC) imepongeza serikali ya Awamu ya...

WAZIRI SIMBACHAWENE ATOA WITO KWA WANANCHI WA CHIPOGOLO KUSHIRIKI MAENDELEO

msumbanews.co.tz - 04:58

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora na Mbunge wa Jimbo la Kibakwe, Mhe. George Simbachawene akizungumza na...

GLOBAL PEACE FOUNDATION WAZINDUA MRADI WA JAMII SHIRIKISHI KANDA YA KUSINI

msumbanews.co.tz - 19/Feb 07:33

viongozi na washirika wakiwa  katika zoezi la uzinduzi wa Mradi wa jamii shirikishi Kanda ya kusiniShirika la Kimataifa lisilo la Kiserikali...

Les derniers communiqués

  • Aucun élément