X

Vous n'êtes pas connecté

Rubriques :

Maroc Maroc - MSUMBANEWS.CO.TZ - A La Une - 16/Feb 08:38

CHAMWINO YAPONGEZWE KWA USIMAMIZI WA THAMANI YA FEDHA.

 Kamati ya kudumu ya Bunge ya TAMISEMI imeipongeza Halmashauri ya Chamwino Kwa kuonyesha na kusimamia thamani ya fedha katika ujenzi  wa miradi mbalimbali  ya elimu katika Halmashauri hiyo.Mwenyekiti wa Kamati hiyo Mheshimiwa Justin Nyamoga ametoa pongezi hizo wakati wa ziara ya ukaguzi wa miradi ya elimu ambapo Kamati hiyo ilitembelea katika Shule ya Sekondari Wasichana Manchali na Shule ya Msingi Membe.“ukipita utaona thamani ya fedha inaonekana katika miradi hii, fedha iliyoletwa inaendana na matokeo tunayoyaona kwahiyo Kamati inawapongeza wote Kwa usimamizi mzuri wa  miradi”Kwa upande wake, Naibu Waziri wa Ofisi ya Rais – TAMISEMI, Mhe.Festo Dugange, amesema ofisi yake imepokea maelekezo mbalimbali yaliyotolewa na Kamati hiyo na kuyasimamia katika Halmashauri mbalimbali Nchini.

Articles similaires

KIKWETE ATOA AINA 25 YA VIFAA KWA WENYE ULEMAVU, AISHUKURU SERIKALI NA KUAHIDI KUWA ITAENDELEA KUBORESHA ELIMU KWA MAKUNDI YOTE.

msumbanews.co.tz - 17/Feb 05:16

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu na Mbunge wa Jimbo la Chalinze Ridhiwani Kikwete amemshukuru Rais wa...

MWANGA NA WAHIMIZWA KUJISAJILI VIKUNDI VYA HUDUMA NDOGO VYA FEDHA.

msumbanews.co.tz - 17/Feb 08:16

 Na Chedaiwe Msuya, WF, MwangaVikundi vya Kijamii na Huduma Ndogo za Fedha katika Kata ya Lembeni Wilaya ya Mwanga mkoani Kilimanjaro, vimetakiwa...

TAMISEMI YAWEKA WAZI VIWANGO VIPYA UJENZI WA MADARASA NA ZAHANATI

msumbanews.co.tz - 14/Feb 04:24

 OR-TAMISEMIOfisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) imefanya mapitio ya bajeti kwa kuzingatia muundo wa kanda na gharama za...

KAMATI YA BUNGE YAMPONGEZA WAZIRI RIDHIWANI KIKWETE KWA USIMAMIZI WA MIRADI YA NSSF ARUSHA

msumbanews.co.tz - 18/Feb 06:56

 Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ustawi na Maendeleo ya Jamii imempongeza Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe....

WAZIRI KIKWETE AZINDUA MIRADI YENYE THAMANI YA SHILINGI BIL.1.6 WILAYANI SONGWE

msumbanews.co.tz - 04:56

 Wananchi wamshukuru Rais Samia kwa kutenga fedha za miradiWaziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu-Kazi , Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Mhe. Ridhiwani...

TUNDUMA WAMETEKELEZA MAAGIZO YA RAIS SAMIA KWA KUTOA BIL 4.6 MIKOPO YA 10%" - WAZIRI KIKWETE

msumbanews.co.tz - 03:41

 Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu-Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Mhe. Ridhiwani Kikwete amesema hatua ya Halmashauri ya Tunduma kutoa...

WANANCHI WAASWA KUKOPA KWENYE VIKUNDI VILIVYOSAJILIWA

msumbanews.co.tz - 14/Feb 12:51

 Na. Eva Ngowi, WF, KILIMANJAROSerikali imewaasa wananchi kuepuka kukopa fedha kwenye Taasisi ama vikundi vinavyotoa huduma za kifedha bila...

BUNGE LAPITISHA NYONGEZA YA BAJETI YA SH. BILIONI 945.7 KWA MWAKA WA FEDHA 2024/2025

msumbanews.co.tz - 14/Feb 14:28

Na. Josephine Majura, WF - Dodoma Bunge limepitisha nyongeza ya mapato na matumizi ya jumla ya shilingi bilioni 945.7 kwa ajili ya kuongeza kwenye...

TANZANIA YAPONGEZWA KWA UKUAJI MZURI WA UCHUMI NA MAENDELEO YA RASILIMALI WATU

msumbanews.co.tz - 21/Feb 19:23

 Na. Farida Ramadhani na Joseph Mahumi, WF, DodomaWashirika wa Maendeleo nchini wameipongeza Serikali ya Tanzania kwa maendeleo mbalimbali hususan...

Les derniers communiqués

  • Aucun élément