X

Vous n'êtes pas connecté

Rubriques :

Maroc Maroc - MSUMBANEWS.CO.TZ - A La Une - 08/Sep 05:07

CPA Makalla:Hatutawaletea wagombea wakusafishwa na dodoki

 KATIBU wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa,CPA Amos Makalla, amesema chama hicho hakipo tayari kusimamisha wagombea wa nafasi za uongozi wasiyokubalika na jamii.Makalla amesema hayo leo,Septemba 7,2024 kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika katika viwanja vya Shirika vilivyopo eneo la Mto wa Mbu.Amesema, wapo viongozi ambao hawakubaliki katika jamii ikiwemo kutotatua kero za wananchi na kutosoma taarifa za mapato na matumizi.“Niwaombe ndugu zangu muendelee kukiamini chama cha mapinduzi na kukipa kura nyingi katika uchaguzi wa serikali za mitaa na tunawaahidi kuwaletea wagombea wanaokubalika na wananchi na siyo mgombea mpaka umfafishe na dodoki sisi muda huo hatuna”,amesema Makalla.Pia amewataka wananchi kwenda kujiandikisha kwenye daftari la makazi Octoba 12 hadi 20 mwaka huu tayari kwa ajili ya kupiga kura.“Tujitokeze kwa wingi ndani ya hizo siku 10 kwenda kujiandikisha kwenye daftari la makazi ili tuweze kushiriki kupiga kura katika uchaguzi wa serikali za mitaa kwani kitambulisho pekee katika ucbaguzi huu hakitoshi”, ameongeza.Aidha ameongeza kuwa,CCM kitahakikisha uchaguzi wa Serikali za Mitaa unafanyika kwa amani, utulivu na haki, huku akisema kuwa matokea ya uchaguzi yatatangazwa kwa uwazi na haki.“Mshindi atatangazwa kwa uwazi na atatangazwa atakaye kuwa na kura nyingi na si vinginevyo” amesema.

Articles similaires

Dc Ilala awataka Viongozi wa Matawi, Mashina, Mitaa na Kata kutimiza majukumu yao kuelekea Uchaguzi wa Serikali za Mitaa

msumbanews.co.tz - 15/Sep 05:19

 Mkuu wa Wilaya ya Ilala  Mhe. Edward Mpogolo amewataka Viongozi wa Matawi, Mashina, Mitaa na Kata  Kutimiza Majukumu yao kuelekea Uchaguzi wa...

DC MPOGOLO ATAKA VIONGOZI KUWA NA MAHUSIANO MEMA

msumbanews.co.tz - 05:50

 Mkuu wa wilaya ya ilala Edward Mpogolo amewataka viongozi wa chama na serikali kuwa na mahusiano mazuri katika kazi zao.Akiongea na viongozi wa...

SILAA WATAKA WANA CCM UKONGA KUNADI MAENDELEO YA RAIS DKT. SAMIA

msumbanews.co.tz - 10/Sep 06:04

Mbunge wa Jimbo la Ukonga ambaye pia ni Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Mhe. Jerry Silaa amewataka wanachama wa Chama cha...

MKURUGENZI WA MATI SUPER BRANDS LIMITED AJITOKEZA KUJIANDIKISHA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA .

msumbanews.co.tz - 07/Sep 12:12

Na Mwandishi Wetu,Manyara .Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya kuzalisha vinywaji changamshi ya Mati Super Brands Limited David Mulokozi amejitokeza...

Wakazi wa Kata za Mnyamani, Buguruni na Vingunguti kuboreshewa huduma za kijamii

msumbanews.co.tz - 15/Sep 05:16

Mkuu wa Wilaya ya Ilala Mhe. Edward Mpogolo amewahakikishia wananchi wa Kata za Mnyamani,Vingunguti na Buguruni kuwa Serikali inaendelea kuboresha...

Wakazi wa Kata za Mnyamani, Buguruni na Vingunguti kuboreshewa huduma za kijamii

msumbanews.co.tz - 15/Sep 05:16

Mkuu wa Wilaya ya Ilala Mhe. Edward Mpogolo amewahakikishia wananchi wa Kata za Mnyamani,Vingunguti na Buguruni kuwa Serikali inaendelea kuboresha...

DHAMIRA YA RAIS SAMIA NI KUONA WANANCHI WANANUFAIKA NA MIRADI KATIKA MAENEO YAO- KAPINGA

msumbanews.co.tz - 10/Sep 04:08

 Naibu Waziri Nishati, Mhe.  Judith Kapinga amesema kuwa dhamira ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ni...

DODOMA, MANYARA NA SINGIDA KUANZA UBORESHAJI SEPTEMBA 25,2024 - INEC

msumbanews.co.tz - 13/Sep 13:04

Makamu Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) Jaji Mstaafu Mahakama ya Rufaa Mbarouk Salim Mbarouk ,akizungumza leo Septemba 13,2024...

DODOMA, MANYARA NA SINGIDA KUANZA UBORESHAJI SEPTEMBA 25,2024 - INEC

msumbanews.co.tz - 13/Sep 13:04

Makamu Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) Jaji Mstaafu Mahakama ya Rufaa Mbarouk Salim Mbarouk ,akizungumza leo Septemba 13,2024...

MBUNGE WA MSALALA ASISITIZA UWT KUJIANDIKISHA KUJIANDIKISHA KWENYE DAFTARI LA CCM

msumbanews.co.tz - 16/Sep 19:13

 MBUNGE  wa Jimbo la Msalala, Mheshimiwa Iddi Kassim Iddi, amewataka wanawake wa Jumuiya ya Wanawake wa CCM (UWT) Kijiji cha Kakola, Kata ya...

Les derniers communiqués

  • Aucun élément