X

Vous n'êtes pas connecté

Rubriques :

Maroc Maroc - MSUMBANEWS.CO.TZ - A La Une - 24/Feb 05:16

WAKANDARASI WASIMAMIWE KUTEKELEZA MIRADI YA NISHATI KWA WAKATI - KAPINGA

 📌Aagiza wasimamiwe kwa karibu kumaliza miradi📌Awataka Watendaji TANESCO kuwa na mahusiano mazuri na wananchiNaibu Waziri wa Nishati, Mhe. Judith Kapinga amewataka watendaji wa Sekta ya Nishati kuwajengea uwezo watoa huduma wanaotekeleza miradi mbalimbali ya sekta ya nishati nchini.Hayo ameyasema leo Februari 23, 2025 na Kapinga wakati akizungumza na wafanyakazi wa Shirika la Umeme nchini (TANESCO, na wakuu wa taasisi za wizara kabla ya kushiriki ziara ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan inayotarajiwa kuanza leo mkoani Tanga."Tunataka hii miradi ikamilike kwa wakati na kwa ubora mkubwa, wakandarasi wajengewe uwezo wa utendaji kazi ili kazi ionekane inafanyika, " Ameongeza Mhe. Kapinga. Aidha, ameipongeza REA kwa kumaliza kufikisha umeme kwenye vijiji vyote nchini na kusisitiza miradi inayoendelea na ile inatakayoanza mwaka huu wa fedha itekelezwe kwa wakati. "Ni muhimu sana kuwasimamia wakandarasi kwa nguvu kuanzia mwanzo tuwe nao makini ili miradi hii ya kupeleka umeme kwenye vitongoji ikamilike kwa wakati, " Amesema Mhe. KapingaKatika hatua nyingine, Mhe. Kapinga amewataka watendaji wa taasisi za nishati kuwa na mahusiano mazuri na wananchi hususan wakati wa kupitisha miradi ya maendeleo kwenye maeneo yao."Imarisheni mahusiano na wananchi mnapopitisha miradi yetu na kuwaeleza kuwa Serikali italipa fidia kwa wote miradi hiyo ilipopita," Amesema Mhe. Kapinga

Articles similaires

MAKAMU WA RAIS ATOA WITO KWA WAANDAAJI WA VIPINDI VYA ELIMU KWA UMMA KUHAMASISHA UHIFADHI WA MAZINGIRA NA MATUMIZI YA NISHATI SAFI

msumbanews.co.tz - 21/Feb 19:32

 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akipokea zawadi iliyotolewa na Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC)...

BITEKO AMPONGEZA MWANAFUNZI ALIYEELEZEA MIRADI YA UMEME

msumbanews.co.tz - 19/Feb 11:02

  Na Josephine Maxime- Dar es Salaam       Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Mheshimiwa Dkt. Doto Biteko ameagiza Mwanafunzi Mirabelle...

KOROGWE WAIPONGEZA SERIKALI UTEKELEZAJI MIRADI YA UMEME

msumbanews.co.tz - 24/Feb 19:05

 📌 Ni katika ziara ya Rais, Dkt. Samia Suluhu Hassan mkoani Tanga📌Vijiji vyote 118 vyafikishiwa umemeWananchi wa Wilaya ya Korogwe wameipongeza...

PURA ENDELEENI KUWAVUTIA WAWEKEZAJI KATIKA SHUGHULI ZA UTAFUTAJI MAFUTA NA GESI- KAPINGA

msumbanews.co.tz - 19/Feb 05:37

 🎈🎈Ataka Duru ya Tano ya kunadi vitalu vya utafutaji wa mafuta na gesi asilia kuwa na matokeo chanya🎈🎈Aipongeza PURA kuwashirikisha...

DKT.BITEKO AIPONGEZA EWURA KULETA UTULIVU KWENYE NISHATI

msumbanews.co.tz - 17/Feb 15:54

  Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Mashaka Biteko,akizungumza wakati akifungua kikao cha nne cha Baraza la Pili la Wafanyakazi wa...

ULEGA ATAKA WATAALAMU WAKUNE VICHWA KUONDOA KERO YA FOLENI MIJINI

msumbanews.co.tz - 13/Feb 18:11

 WAZIRI wa Ujenzi, Abdallah Ulega, amewataka wataalamu wa wizara hiyo kutumia Mkutano wa Baraza la Wafanyakazi uliofanyika mkoani Singida kubuni njia...

EAC YAIPONGEZA TANZANIA KWA MAANDALIZI YA KONGAMANO NA MAONESHO YA PETROLI

msumbanews.co.tz - 16/Feb 06:11

 • Tanzania, Rwanda na Uganda zakubaliana kusaini hati ya makubaliano ya ujenzi wa Kufua Umeme Nsongezi wa 39MWMkutano wa 17 wa Baraza la Mawaziri...

MSIGWA AIPONGEZA WIZARA YA NISHATI USIMAMIZI MRADI WA JNHPP

msumbanews.co.tz - 17/Feb 04:55

 📌 Asema mradi umefikia asilimia 99.8📌 Awaasa watanzania kujivunia mradi wa Julius NyerereKatibu Mkuu Wizara ya Habari Utamaduni Sanaa na...

DKT. BITEKO ATEMBELEA UBALOZI WA TANZANIA NCHINI INDIA

msumbanews.co.tz - 16/Feb 06:21

 Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Bitekoakizungumza na Watanzania waishio India pamoja na watumishi wa Ubaloziwa Tanzania...

Les derniers communiqués

  • Aucun élément