X

Vous n'êtes pas connecté

Rubriques :

Maroc Maroc - MSUMBANEWS.CO.TZ - A La Une - 17/Feb 11:35

WANANCHI WASHAURIWA KUJISAJILI WEZESHA PORTAL

 Na. Eva Ngowi - KilimanjaroSerikali imewashauri wananchi kusajili vikundi vyao vya huduma ndogo za fedha kupitia mfumo wa Wezesha Portal ambayo ni njia rahisi na haina gharama yoyote.Ushauri huo umetolewa na, Afisa Usimamizi Fedha Mwandamizi kutoka Wizara ya Fedha, Idara ya Uendelezaji wa Sekta ya Fedha, Bw. Jackson Mshumba wakati akitoa Elimu ya Huduma Ndogo za Fedha katika Kata ya Kibosho, Wilaya ya Moshi Vijijini, Mkoani Kilimanjaro.Alisema kuwa Wezesha Portal ni jukwaa la dijitali lililoundwa kusaidia wajasiriamali na wafanyabiashara katika kukuza biashara zao, kupata mafunzo, na kupata rasilimali zingine za kuwasaidia kibiashara na inaokoa muda.Aidha, Bw. Mshumba alisema kuwa kabla ya kusajili vikundi vya huduma ndogo za fedha ni vyema wananchi wanaotaka kuanzisha vikundi hivyo wakajiridhisha kuhusu wanachama wao wanaotaka kujiunga nao ili kuepukana na lawama na baadhi ya wajumbe kukimbia familia zao kutokana na madeni.“Kabla ya kujiunga kwenye kikundi kitu cha kwanza lazima wawe wanatoka eneo moja ili kurahisisha utambuzi katika Serikali za Mitaa, pili, lazima waaminiane, tatu, wawe na lengo moja lililosababisha wao waamue kuanzisha kikundi. “Alisema Bw. Mshumba.

Articles similaires

MWANGA NA WAHIMIZWA KUJISAJILI VIKUNDI VYA HUDUMA NDOGO VYA FEDHA.

msumbanews.co.tz - 17/Feb 08:16

 Na Chedaiwe Msuya, WF, MwangaVikundi vya Kijamii na Huduma Ndogo za Fedha katika Kata ya Lembeni Wilaya ya Mwanga mkoani Kilimanjaro, vimetakiwa...

WANANCHI WAASWA KUKOPA KWENYE VIKUNDI VILIVYOSAJILIWA

msumbanews.co.tz - 14/Feb 12:51

 Na. Eva Ngowi, WF, KILIMANJAROSerikali imewaasa wananchi kuepuka kukopa fedha kwenye Taasisi ama vikundi vinavyotoa huduma za kifedha bila...

ELIMU YA FEDHA, MKOMBOZI WA KIUCHUMI KIJIJI CHA KIHURIO SAME

msumbanews.co.tz - 14/Feb 08:06

 Na Chedaiwe Msuya, WF, SameWananchi wa Kata ya Kihurio, wilayani Same, mkoani Kilimanjaro, wametakiwa kuhakikisha wanatumia huduma za Taasisi za...

WANANCHI WA PASUA NA MAJENGO WAFURAHIA FURSA ZA UWEKEZAJI

msumbanews.co.tz - 14/Feb 03:45

 Na. Eva Ngowi, WF, KILIMANJAROSerikali imetoa rai kwa Wananchi kuwekeza fedha zao sehemu sahihi na salama badala ya kuwekeza fedha mahali ambapo...

JENGO LA HAZINA - GEITA LAZINDULIWA

msumbanews.co.tz - 18/Feb 07:15

 Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji, Mhe. Stanslaus Haroon Nyongo (Mb), amezindua rasmi Jengo la Hazina Mkoa wa Geita kwa...

KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA YA MAMA SAMIA YAZINDULIWA RASMI LINDI.

msumbanews.co.tz - 19/Feb 11:17

Waziri mkuu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Kassim Majaliwa majaliwa akizindua kampeni ya kitaifa ya msaada wa kisheria ya mama Samia mkoani...

RAIS DKT SAMIA SULUHU ATOA MAELEKEZO KWA WAZIRI MCHENGERWA

msumbanews.co.tz - 23/Feb 18:13

 Na Oscar Assenga, HANDENI. RAIS Dkt Samia Suluhu amemuagiza Waziri wa Tamisemi Mohamed Mchengerwa kuhakikisha wanapeleka kiasi cha Milioni 240 kwa...

NAIBU KATIBU MKUU MWAKITINYA "CCM KUSHINDA SIO OMBI"

msumbanews.co.tz - 19:50

NNaibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi Tanzania Bara (UVCCM), Mussa Mwakitinya amesema ushindi kwa Chama cha Mapinduzi sio ombi...

Waliofanyiwa upasuaji wa moyo waishukuru Serikali kwa kuboresha huduma za matibabu ya moyo nchini

msumbanews.co.tz - 15/Feb 07:45

 Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete Dk Peter Kisenge amemshukuru Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuendelea kuboresha huduma...

TANZANIA ,UJERUMANI KUSHIRIKIANA UTEKELEZAJI WA BIMA YA AFYA KWA WOTE

msumbanews.co.tz - 18/Feb 14:56

 Serikali kupitia Wizara ya Afya itaendelea kushirikiana na Shirika la Maendeleo la Ujerumani (GIZ) katika utekelezaji wa Bima ya Afya kwa Wote ili...

Les derniers communiqués

  • Aucun élément