Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Mifugo na Uvuvi (Mifugo) Bw. Abdul Mhinte akizungumza jijini Dar es Salaam, wakati akifungua mkutano wa wataalamu kutoka...
Vous n'êtes pas connecté
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe. Mohamed Mchengerwa amewaagiza Wakuu wa Mikoa ya pembezoni mwa nchi na mipakani kuimarisha zaidi ulinzi na usalama wa mipaka ili kujilinda na Homa ya nyani ‘Mpox’ kuweza kuingia nchini.Mhe. Mchengerwa ametoa maagizo hayo leo Jumatano Septemba 18, 2024 wakati wa ziara yake ya kikazi wilayani Longido mkoani Arusha akitahadharisha kuchukua hatua na kwa Wilaya na Mikoa itakayozembea na kusababisha ugonjwa huo kuingia nchini Tanzania viongozi wake watachukuliwa hatua.“Ugonjwa huu hauko mbali,upo jirani tu kwahiyo msingi huu wa kuimarisha ulinzi katika mipaka yetu itatusaidia kutambua yule anayeingia lazima afanyiwe uchunguzi wa kiafya kwa mujibu wa namna taratibu za wizara ya afya walivyotupatia.” Amesema Mchengerwa.Imarisheni ulinzi katika mipaka yetu ili kudhibiti ugonjwa wa Mpox, kila mgeni lazima apimwe asije kuingiza ugonjwa Tanzania hasa kipindi hiki ambacho tunaelelea kwenye Uchaguzi, na anatakayepelekea ugonjwa huu kuingia nchini kwa uzembe ntamchukulia hatua alisisitiza Mhe. Mchengerwa!
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Mifugo na Uvuvi (Mifugo) Bw. Abdul Mhinte akizungumza jijini Dar es Salaam, wakati akifungua mkutano wa wataalamu kutoka...
WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais TAMISEMI Mohamed Mchengerwa amewaagiza wakuu wa Mikoa na Wilaya kuhakikisha wanasimamia zoezi la ubainishaji wa...
WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais TAMISEMI Mohamed Mchengerwa amewaagiza wakuu wa Mikoa na Wilaya kuhakikisha wanasimamia zoezi la ubainishaji wa...
Na Denis Chambi, Tanga.MKUU wa Mkoa wa Tanga Balozi Dkt Batilda Buriani ameitaka Hospital ya rufaa ya mkoa Bombo kuwa ya mfano kwa kuchukua...
Tanzania ina mifumo kadhaa ya kisheria na udhibiti inayoongoza sekta ya mawasiliano na TEHAMA ili kuhakikisha huduma ya intaneti ya kasi inawafikia...
Waziri wa Madini Anthony Mavunde amesema kuwa Ujenzi wa Kiwanda cha kusafisha madini ya chumvi kinachojengwa na Shirika la Madini la Taifa (STAMICO)...
Waziri wa Madini Anthony Mavunde amesema kuwa Ujenzi wa Kiwanda cha kusafisha madini ya chumvi kinachojengwa na Shirika la Madini la Taifa (STAMICO)...
Na. Joseph Mahumi na Peter Haule, WF, DodomaSerikali imesema inaendelea kuweka mikakati na mbinu mbalimbali za muda mfupi, wa kati na mrefu katika...
Waziri wa Afya Mhe. Jenista Mhagama amezitaka Hospitali zote nchini kuanzisha mfumo wa matumizi ya simu za upepo ili kupunguza matumizi ya siku za...
Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Ahmed Abbas Ahmed ,akizungumza na wamiliki wa hoteli kuhusu fursa za Tamasha la Kitaifa la Utamaduni Baadhi ya wamiliki wa...