X

Vous n'êtes pas connecté

Rubriques :

Maroc Maroc - MSUMBANEWS.CO.TZ - A La Une - 11/Sep 05:52

Wakala Wa Vipimo Tanzania watoa msaada wa vifaa kwa jeshi la polisi

 JESHI la polisi limesema kuwa limedhamiria kuboresha huduma zake ikiwa ni pamoja na kubadili fikra juu ya jeshi hilo, kusimamia sheria kikamilifu pamoja na kuimarisha matumizi ya mifumo ya tehama na teknolojia katika utendaji wakeHayo yameelezwa jijini dar es salaam na Kaimu kamanda wa polisi mkoa wa kipolisi ilala Kamishna msaidizi wa polisi Mohamed Makusi wakati akipokea vifaa mbalimbali vya tehama ikiwemo kopyuta na printer (vichapishi) vilivyotolewa na wakalwa wa vipimo tanzania kwa jeshi hilo ili kuliongezea ufanisi wa kiutendajiVilevile amesema vifaa hivyo Vitasaidia kuongeza ufanisi katika utoaji wa huduma kwa wananchi ikiwa ni pamoja na kupunguza muda wa utoaji wa huduma hizo.“Vitatusaidia kutoa huduma bora za kipolisi kwenye ofisi zetu na pia vitasaidia wao (wananchi) kutopoteza muda mwingi kusubiri huduma za kipolisi katika ofisi zetu za kipolisi mkoa wa ilala” Amesema Makusi.“Kwenye maadhimiaho ya miaka 60 ya jeshi la polisi kauli mbiu ni huduma bora za kipolisi zitapatikana kwa kubadili fikra, usimamizi wa sheria na matumizi ya tehama, hivyo nyinyi mmeingia kwenye eneo la matumizi ya tehama kwa hiyo tunawashukuru sana” Aliongeza kamanda Makusi.Kwa upande wake meneja wa wakala wa vipimo mkoa wa ilala Muono Nashon amesema lengo ni kuimarisha utendaji wa jeshi la polisi kwani wamekuwa wakifanya kazi kwa karibu na jeshi hilo kwani kupitia kesi mbalimbali za jinai zinazoibuliwa na wakala wa vipimo.“Tumekuwa tukifanya kazi kwa karibu sana na jeshi la polisi kwani ukiangalia kazi zetu nyingi zinaendana na jinai ambapo mara nyingi tunawahitaji polisi ili kuhakikisha sheria inachukua mkondo wake hivyo vifaa hivi vitasaida kuboresha utendaji kazi na kuomarisha mahusiano yetu na jeshi la polisi” Alibainisha Muono

Articles similaires

WMA YATOA MSAADA WA VIFAA VYA TEHAMA KWA JESHI LA POLISI ILALA

msumbanews.co.tz - 11/Sep 10:54

  Na Mahamudu Jamal, WMAWakala wa Vipimo (WMA) imekabidhi msaada wa vifaa vya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA) kwa Jeshi la Polisi Mkoa...

WMA, TAKUKURU WATEKELEZA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA

msumbanews.co.tz - 09/Sep 07:07

 Na Veronica Simba, WMA DodomaWakala wa Vipimo (WMA) Mkoa wa Dodoma imetoa elimu ya vipimo kwa Watumishi wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa...

WMA YAHIMIZA USHIRIKIANO KUTOKA SEKTA BINAFSI

msumbanews.co.tz - 12/Sep 08:08

Afisa Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Vipimo (WMA), Alban Kihulla akizungumza na Wahariri pamoja na Waandishi wa Habari kutoka vyombo mbalimbali, Septemba...

WMA YAHIMIZA USHIRIKIANO KUTOKA SEKTA BINAFSI

msumbanews.co.tz - 12/Sep 08:08

Afisa Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Vipimo (WMA), Alban Kihulla akizungumza na Wahariri pamoja na Waandishi wa Habari kutoka vyombo mbalimbali, Septemba...

WAZIRI JAFO: WIZI WA KUCHEZEA VIPIMO NI KOSA KISHERIA

msumbanews.co.tz - 12/Sep 07:50

 WAZIRI  wa Viwanda na Biashara, Dkt. Selemani Jafo amehimiza wananchi jijini Mwanza kuzingatia matumizi sahihi ya vipimo kila mara wanapofanya...

OSHA YAWAWEZESHA WACHIMBAJI, WAPONDAJI KOKOTO DAR ES SALAAM

msumbanews.co.tz - 15/Sep 05:02

 Wajasiriamali wadogo wapatao 500 wanaojihusisha na uchimbaji na uchakataji kokoto Jijini Dar es Salaam wamewezeshwa vifaa kinga na kupatiwa mafunzo...

OSHA YAWAWEZESHA WACHIMBAJI, WAPONDAJI KOKOTO DAR ES SALAAM

msumbanews.co.tz - 15/Sep 05:02

 Wajasiriamali wadogo wapatao 500 wanaojihusisha na uchimbaji na uchakataji kokoto Jijini Dar es Salaam wamewezeshwa vifaa kinga na kupatiwa mafunzo...

TANESCO SACCOS YAKABIDHI MSAADA WA MASHUKA YA MILIONI 25 KWA HOSPITALI ZA DAR ES SALAAM

msumbanews.co.tz - 11/Sep 04:58

 CHAMA cha Ushirika wa Akiba na Mikopo cha Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO SACCOS),kimetoa mashuka ya vitanda zaidi ya 1000 kwa lengo la kuboresha...

WMA kutoa gawio la sh. Bilioni 7.7 mwaka wa Fedha 2025/2026

msumbanews.co.tz - 12/Sep 05:50

Afisa Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Vipimo (WMA) Alban Kihulla akizungumza na Wahariri na Waandishi wa Habari katikq Mkutano mwendelezo ya Mikutano...

POLISI WAPIGA MARUFUKU MAANDAMANO YA CHADEMA ,CCM WALAANI UTEKAJI

msumbanews.co.tz - 14/Sep 05:02

Jeshi la polisi nchini Tanzania limepiga marufuku maandamano yaliyokuwa yamepangwa na chama cha upinzani Chadema kufanyika jijini Dar es Salaam tarehe...

Les derniers communiqués

  • Aucun élément